Kwamara nyingine msanii wa nyimbo za Bongo Fleva hapa nchini Nasib Abdul akaDiamond Platnumz amethubutu kuingia kwenye studio za Wasafi Records kufanya ngoma ya pamoja na msanii Mrisho Mpoto ambapo hapo awali walifanya ngoma ya pamoja kuhusiana na mabomu ya Gongo la Mboto yalio athiri wakazi wa eneo hilo jijini Dar es Salaam-Tanzania.
Kwenye accout yake ya Instagram Diamond ameandika "Wasafi Records right now na @mrishompoto ... i wish you can get jus a second to hear this...."
Kwenye accout yake ya Instagram Diamond ameandika "Wasafi Records right now na @mrishompoto ... i wish you can get jus a second to hear this...."
0 comments:
Post a Comment