Picha: Mpenzi mpya wa Nuh Mziwanda ajichora tatoo ya Nuh



Baada ya Shilole kujichora tatoo ya Nuh Mziwanda enzi alipokuwa mpenzi wake, mpenzi mpya wa muimbaji huyo wa ‘Jike Shupe’, naye kajichora tattoo ya Nuh kwenye mkono wake.


Shilole alichora tatoo lakini baadaye ilikuja kumgharimu walipo achana Nuh. Matokeo yake tatoo hiyo iliyokuwa kifuani Shishi aliibadilisha na kuwa ua, je na huyu naye itakuwaje?

Msichana huyo amejichora kwenye mkono wake ‘NUH MZIWANDA.’ Bado hata hivyo Nuh ana tattoo ya ex wake Shishi.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment