Shamsa: Wasanii Tusiwekeane Mabifu Kisa Siasa




STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford amewaasa wasanii kuwa wasigombane na kuwekeana mabifu kisa siasa kwani baada ya mchakato huo watarudi kukaa pamoja na kufanya kazi zao kama kawaida.

Akipiga stori na Ijumaa, Shamsa alisema mastaa kwa sasa wanagombana na kutoleana maneno machafu, kitu ambacho si kizuri kwa kazi zao kwani wote wanategemeana.

“Hiki ni kipindi cha mpito tu, mimi nawashauri mastaa wenzangu wasifikishane pabaya kisa siasa, tushindane kwa sera kupitia vyama vyetu lakini si kugombana na kutoleana maneno machafu, kesho na keshokutwa najua tutakutana tu kwenye kazi zetu tena,” alisema Shamsa.





Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment