
Diamond Platnumz anaendelea kuthibitisha ukubwa wake, video yake iliyomfungulia njia za kimataifa ‘Number one Remix’ aliyomshirikisha Davido imetazamwa mara 10,003,353 hadi leo August 20. Iliwekwa Youtube Jan 6, 2014.
Diamond amewashukuru mashabiki wake kwa kuandika;
“Watazamaji zaidi ya Milioni kumi 10M, nawashkuru sana… amini si mimi ni Nyinyi na mimi ndio kwapamoja tunakuza Mziki huu…InshaAllah Mwenyez Mungu atusmamie tuzidi fika Mbali…Tuseme Amen.”
0 comments:
Post a Comment