Breaking News: Polisi Watumia Mabomu ya Machoz Mwanza Kuwatawanya wafuasi wa Lowassa




Muda huu polisi wanapiga mabomu uwanja wa ndege jijini Mwanza kuwatawanya wananchi waliokusanyika kumpokea Lowassa.

Mabomu yamepigwa muda mfupi baada ya ndege inayosadikiwa kuwa ni ya Lowassa kutua uwanjan, hali iliyowafanya wananchi walipuke kwa furaha huku wakiimba nyimbo za Chadema.
Kadhia hiyo iliwafanya Polisi watumie nguvu ya ziada kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wametanda barabarani.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment