Kwa anaye taka kuona sura ya mtoto wa Diamond, Haya ndiyo maneno ya Zari juu ya suala hilo
Wengi wamekuwa wanatamani kuona sura halisi ya mtoto wa msanii Diamond Platnumz aliyezaa na mjasiria mali kutoka Uganda na mwanamuziki pia, Zari Hassan baada ya kuishia kumuona akiwa kwenye baby show nk.
Zari kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa "Naapa nataka kuwaonyesha uso wake lakini anageuka nakusema nop nakusema sihitaji maigizo. Anajua wote mnaweza kuwa waigizaji/wazushi. Nibora akakaa salama kwa sasa..."
0 comments:
Post a Comment