Mlipuko China:Watu 95 hawajulikani waliko


4


95 hawajulikani waliko nchini China
Siku nne baada milipuko mikubwa kuukumba mji wa Tianjin nchini China, utawala unasema kuwa bado watu 95 hawajulikani waliko.

Karibu wale wote wasiojulikana waliko ni wazima moto.

Idadi ya watu waliouawa kwenye milipuko hiyo imepanda hadi zaidi ya watu 110.

Wasimamizi wa mitaandao nchini China wamefunga mitandao kadha inayodaiwa kuzua hofu kwa kuchapisha habari zisizokuwa za kweli.

Mapema mamia ya mitandao ya kijamii ilifungwa na utawala kwa kueneza uvumi kuhusu milipuko hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment