Msikilize hapa Shetta akielezea kwanini anaitwa 'Shetani' kwa sasa!



Shikorobo Master, Shetta msanii wa muziki ambaye anafanya poa ndani na nje ya mipaka ya nchi, amelazimika kutolea ufafanuzi a.k.a yake mpya ambayo anasikika akijiita kwa muda sasa (Shetani) na kusema kuwa maana yake ni kuwa anatisha mfano wa Shetani.

 

Shikorobo Master, Shetta msanii wa muziki ambaye anafanya poa ndani na nnje ya mipaka ya nchi, amelazimika kutolea ufafanuzi a.k.a yake mpya ambayo anasikika akijiita kwa muda sasa (Shettani) na kusema kuwa maana yake ni kuwa anatisha mfano wa Shetani katika kile anachokifanya – Muziki.
Shetta ama (Shetani lenyewe) kupitia mahojiano ambayo eNewz, amesema kuwa jina hilo amelitoa kwa mshkaji wake wa karibu sana, na kukanusha tafsiri nyingine zote ambazo jamii imekuwa ikijiongeza kuhusu jina hilo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment