Ni muda mrefu umepita msanii huyo hajasikika kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva uliojaa ushindani wa kila aina kwa sasa.
Akizungumza na Team TZ, Bwana Misosi amesema kuwa ukimya huo ni kutokana na maamuzi mapya aliyochukua ya kuweka muziki pembeni na kufanya mambo mengine.
”Ukweli ni kwamba sasahivi nimesimama kidogo na mambo ya Muziki nafanya michakato yangu mingine, nitakapo taka kurejea nitawajulisha” alisema Bwana Misosi.
0 comments:
Post a Comment