Godzilla adai hawezi kuuza utu wake kwa show za siasa


Rapper Godzilla amewaunga mkono Weusi na wasanii wengine kwa kusema kuwa hawezi kufanya show za kisiasa ili kumsupport mgombea fulani.





Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Zizi alisema hawezi kuuza utu wake kwa pesa.

“Sasa hivi politics zimetawala, wasanii ni politics, mimi sio politics, siwezi kufanya hivyo na kitambulisho cha kura sasa sieliwi nampigia nani? Siwezi kufanya hivyo, siwezi kuuza utu wangu,” alisema Godzilla.

“Kwa mfano nakuita uje uni-promote halafu nakupa milioni 2, unaweza kutoka kwa milioni 2? Ukiwa na time table milioni 2 is just nothing.”

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment