H.Baba amzawadia mwanae kiwanja kilichopo Mbezi Beach

H.Baba amemzawadia mwanae wa kike, Tanzanite kiwanja kilichopo Mbezi Beach jijini Dar es salaam kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa.

11809986_839859886134808_1811817790_n

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, H.Baba ameiandika:

Mwanangu Tanzanite nimempa zawadi ya ‪kiwanja‬ ‪maeneo‬ ya Mbezi Beach chenye ukubwa wa 52 kwa 44 zawadi hii ni ya ‪‎birthday‬ yake yakuzaliwa kwake namshukuru mama Tanzanite kwa kunivumilia kupata mshangao wa kiwanja cha mwanae , hakutegemea‬ ‪kiukweli‬ Mbezi Beach uwanja sio mchezo kwa wanaojua thamani ya ardhi ‪wanaelewa‬ nini namaanisha, ‪‎siwezi‬ kumpa mwanangu zawadi ya gari kwasababu ‪‎bado‬ mdogo pia kiwanja kila anavyokuwa na kiwanja kinapanda, ‪‎thamani‬ ila gari ‪‎linashuka‬ thamani , namshukuru‬ mwenyezi mungu kwakufanikisha hili kubwa kwa mwanangu Tanzanite haya haya walee wa mbezi beach ‪‎jirani‬ yenu mpyaa.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment