Nay wa Mitego akana kutoka kimapenzi na msanii Pam D

IMG_0662

Nay amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa Pam D ni mshkaji wake na sio mpenzi wake kama watu wanavyosema kutokana kuwa naye karibu.
“Kuna hali ambayo ipo kwa vijana kwamba tufanye hivi na hivi lakini hatuwezi kuwa permanent ila kwangu mimi ni mshkaji wangu tu,” alisema Nay.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment