Nay amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa Pam D ni mshkaji wake na sio mpenzi wake kama watu wanavyosema kutokana kuwa naye karibu.
“Kuna hali ambayo ipo kwa vijana kwamba tufanye hivi na hivi lakini hatuwezi kuwa permanent ila kwangu mimi ni mshkaji wangu tu,” alisema Nay.
0 comments:
Post a Comment