Headlines za
Tanzania kwa sasa ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu
2015,Wagombea wa nafasi mbalimbali wanapita kila sehemu,kila Mkoa,kila Wilaya kunadi sera zao ambapo leo Mgombea wa
Chama Cha Mapinduzi kwenye nafasi ya Urais
John Magufuli ameongea na wapiga kura wa
Mtwara.
Kwenye hotuba yake Mheshimiwa
Magufuli
kuna maeneo ambayo aliamua kuyazungumzia kwamba akifanikiwa kuwa Rais
wa nchi hii ni miongoni mwa mambo atakayoyashughulikia,mambo hayo ni
pamoja na mikopo ya Wanavyuo,Kuporwa na kuuwawa kwa Polisi,nimekurekodia
pia mtu wangu.
Bonyeza play kumsikiliza.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment