Muigizaji wa Marekani, Mchekeshaji na anaye cheza tamthilia ya TV, 'Real Husbands of Hollywood' namzungumzia Kevin Hart amepanga kutua barani Afrika kwa perform ndani yaAfrika Kusini.
Savanna Premium Cider ni kampuni ambayo imeamua kufanya tour ya kwanza ya msanii huyo aweze ku tua Afrika Kusini kwaajili ya show yake ambayo itakuwa ya kwanza mwakani 2016 mwezi wa March pale Cape Town, Durban na Johannesburg.
Tour ya 'What Now?' ambayo inafanywa na mchekeshaji huyu ilianza pale Texas mwaka huu mwezi wa April akifanya performance USA, Canada, UK na Australia hadi sasa.
Savanna Premium Cider ni kampuni ambayo imeamua kufanya tour ya kwanza ya msanii huyo aweze ku tua Afrika Kusini kwaajili ya show yake ambayo itakuwa ya kwanza mwakani 2016 mwezi wa March pale Cape Town, Durban na Johannesburg.
Tour ya 'What Now?' ambayo inafanywa na mchekeshaji huyu ilianza pale Texas mwaka huu mwezi wa April akifanya performance USA, Canada, UK na Australia hadi sasa.
0 comments:
Post a Comment