Kabla Navy Kenzo haijaanzishwa, Nahreel na Aika ambao ni couple walipitia kundi la Pah One na baadae wakajitoa na kuanzisha Navy Kenzo ambayo pia mwanzoni ilikuwa na watu watatu.
Navy Kenzo ambao kwa sasa wapo wawili wamesema kuwa hawana mpango wa kuongeza mtu yeyote kutokana ana matatizo ya kuwa na watu wengi waliyoyaona huko walikopitia.
“Ikitokea mtu akahitaji kujiunga na sisi itakuwa ngumu coz Navy Kenzo itabaki kuwa wawili baada ya kupitia life hilo na kuruhusu watu wengi sana ku-cooperate but hatuku matchsometimes mawazo ya kibiashara, mind set zetu zipo kivingine so tushaliona hilo tatizo na hatuwezi tena kurudia kosa “ Navy Kenzo waliiambia Baabkubwa.
0 comments:
Post a Comment