Haijalishi kama ataendelea na uamuzi huo, lakini tayari rapper huyo ameshapata support kutoka kwa mastaa wengine akiwemo Rihanna.
Kwenye interview na ET, muimbaji huyo wa “Bitch Better Have My Money”alimuunga mkono Yeezy. “I mean people are voting for [Donald] Trump,” alisema Rihanna. “Who wouldn’t vote for Kanye?!”
Kwa upande mwingine Rihanna aliisifia hotuba ya Kanye West.
Naye msanii wa Uingereza, Leona Lewis amedai kuwa ni shabiki wa Kanye ambapo pamoja na kusifia hotuba yake amefanya cover ya wimbo wake Only One.
0 comments:
Post a Comment