Kufuatia
Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza baadhi ya majimbo, wagombea wa CCM
wamepita bila kupingwa, hali iliyopelekea wagombea wa vyama vya upinzani
kukata rufaa NEC. Baadhi
ya rufaa zilizokatwa wagombea wamefanikiwa kushinda, hivyo majimbo hayo
hayatapitwa bila kupingwa kama ilivyokuwa imetangazwa awali. Majimbo hayo ni: 1. Handeni 2. Chalinze 3. Bumbuli 4. Ukonga 5. Ludewa
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment