UKAWA Washinda Rufaa za NEC na Kufanikiwa Kuzuia Wagombea wa Majimbo Matano Kwa Tiketi ya CCM Kupita Bila Kupingwa.

Kufuatia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza baadhi ya majimbo, wagombea wa CCM wamepita bila kupingwa, hali iliyopelekea wagombea wa vyama vya upinzani kukata rufaa NEC.

Baadhi ya rufaa zilizokatwa wagombea wamefanikiwa kushinda, hivyo majimbo hayo hayatapitwa bila kupingwa kama ilivyokuwa imetangazwa awali.

Majimbo hayo ni: 

1. Handeni 
2. Chalinze 
3. Bumbuli 
4. Ukonga 
5. Ludewa

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment