Mpenzi wa Kala Jeremiah ajifungua mtoto wa kiume, anaitwa ‘Alama’


Mpenzi wa msanii wa muziki wa Hip Hop, Kala Jeremiah amejifungua mtoto wa kiume Jumamosi hii, nakupewa jina, ‘Alama’.



Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, Kala amesema jina Alama limetokana na jina lake la zamadi, ‘Mark’.

“Kusema kweli nafuraha sana kupata mtoto wa kwanza wakiume,” alisema Kala. “Mama yake nipo naye sema sikainaye ila ni mtu wangu wa muhimu sana kwa sababu ameniletea kiumbe,”

Aliongeza, “Mwanangu anaitwa Alama, vyovyote unavyotaka kumuita, ukitaka umwite alama ya kuuliza, sijui nini wewe tu. Nimempa jina hilo kwa sababu ni jina langu ambalo nilikuwa nalitumia wakati nauza mtumba, hata marafiki zangu wanajua nilikuwa naitwa Mark, sema nikalibadili na kuliweka Alama, kwa kiswahili,”

Credit Bongo5



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment