Benni McCarthy kuifunza klabu ya Ubelgiji


McCarthy

Mshambuliaji wa zamani wa taifa la Afrika Kusini Benni McCarthy ndio mkufunzi mpya wa klabu ya Ubelgiji Sint-Truidense.

Amesema kuwa anataka kumuigiza kocha wa Chelsea Jose Mourinho baada ya kucheza chini ya mkufunzi huyo alipokuwa akiichezea klabu ya Porto nchini Ureno.

''Alikuwa kocha mkakamavu na mwenye maono na akili ya kucheza mpira'',McCarthy aliambia BBC.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment