Haya ndiyo magari 3 yenye gharama kubwa zaidi duniani


Haya ni magari matatu yenye thamani kubwa zaidi duniani kwa mujibu wa mtandao wa Digital Trends.

1. Koenigsegg CCXR Trevita ($4.8M)


Koenigsegg ni kama mgodi wa almasi utembeao kwasababu imezungushiwa na madini hayo kwenye gari zima. Zimetengenezwa gari tatu hadi sasa.

2. Lamborghini Veneno ($4.5M)



Limepewa jina ‘sumu’ wa watengenezaji wa Italia na lilitengenezwa kusherehekea miaka 50 ya kampuni hiyo. Kwa dola milioni 4.5 gari hii inakuwa yako.

3. W Motors Lykan Hypersport ($3.4M)



Gari hili la Kilebanon limeonekana kwenye filamu ya Furious 7 likigonga makwea anga (skyscrapers) matatu ya Dubai. Polisi wa Abu Dhabi wanatumia gari hili la kifahari kwenye patrol zake.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment