CAF yatoa ratiba ya kombe la shirikisho, hii ndiyo timu iliyopangiwa na Yanga



Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limeendesha droo ya timu zitakazo kutana kwenye hatua ya 16 bora kwenye kombe la shirikisho.



Baada ya timu ya Yanga kutolewa na Al Ahly ya Misri kwa jumla ya magoli 3-2, Yanga wamepangiwa kucheza na Sagrada Esperanca ya nchini Angola, lakini kwenye hatua ya kwanza yanga wataanzia nyumbani.

Mechi zote za kwanza kwenye kombe hilo zitachezwa kati ya tarehe 6 na 8 ya mwezi ujao na hatua ya pili ya marudiano itafanyika kati ya tarehe 17 na 18 ya mwezi huo huo.

Hii ndiyo ratiba iliyotolewa na CAF:

MO Bejaia (Algeria) vs Esperance (Tunisia)

Stade Malien (Mali) vs FUS Rabat (Morocco)

Etoile du Sahel (Tunisia) vs CF Mounana (Gabon)

TP Mazembe (DR Congo) vs Stade Gabesien (Tunisia)

Ahli Tripoli (Libya) vs Misr Makassa (Egypt)

El Merreikh (Sudan) vs Kawkab (Morocco)

Young Africans (Tanzania) vs Sagrada Esperanca (Angola)

Mamelodi Sundowns (South Africa) vs Medeama (Ghana)


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment