Jux anaendelea kuimarisha clothing line yake ya African Boy.
Muimbaji huyo kwa sasa ameongeza sneakers za brand yake hiyo.
Amevionesha viatu hivyo kwenye Instagram. Bado hajasema kama vimeanza kuuzwa tayari lakini mashabiki wengi wamedata navyo. Tayari t-shirts na kofia za African Boy zipo sokoni.
Katika hatua nyingine muimbaji huyo anatarajia kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘Wivu.’
0 comments:
Post a Comment