Lulu hana msaada kwangu, hata sura yake nimeisahau – Mama Kanumba



Mama Steven Kanumba amesema Elizabeth Micheal ‘Lulu’ hana msaada kwake na hata sura yake ameisahau.



Akizungumza kwa uchungu katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Jumatatu hii, Mama Kanumba amesema kitu ambacho alikuwa anakihitaji kutoka kwa Lulu ni salamu pekee.

“Lulu hanisadii kitu chochote na hata sura yake nimeisahau,” alisema Mama Kanumba. “Mimi sihitaji msaada hata salamu tu inatosha,”

Pia alisema anashukuru kumuona Mama Lulu kwenye ibada ya siku ya kumbukumbu ya kifo cha Kanumba iliyofanyika Machi 7 katika makaburi ya Kinondoni.

Credit Bongo5
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment