Ratiba ya Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya leo 5 April


Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya, zinaendelea leo 5 April katika viwanja mbali mbali mechi ambayo itavuta mashabiki wengi ni Barcelona na Atlético Madrid mechi hiyo itapigwa katika uwanja Camp Nou, Mechi nyingine itakuwa ni kati ya Bayern München ambayo itawaalika Benfica kutoka Portugal.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment