Sina TV ya kuangalia nyumbani kwangu – Lupita Nyong’o



Muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o, amesema hutegemea marafiki zake kumpasha habari za kila siku..



“Similiki TV, lakini huwa napata habari kwa njia zingine,” alisema. “Nina marafiki ambao ni wasomaji wazuri wa habari, huwa wananipa muhtasari.”

“Ni binadamu wanaofanya kazi kama app za habari, ni wa aina yake.”

Muigizaji huyo ameliambia jarida la Stylist kuwa husafiri muda mwingi.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment