Baby J akanusha kuwa mjamzito


Mwanadada anayefanya muziki wa Bongo Fleva akiwakilisha visiwa vya Zanzibar Baby J amekanusha tetesi zilizoenea kuwa ni mjamzito.






Baby J ambaye muda mwingi yupo maskani yake Zanzibar ameimbia Bongo5 kuwa ukimya wake ndiyo umesababisha watu kuhusi kuwa ni mjamzito

“Unajua kweli nimekuwa kimya lakini ni mipango naweka sawa na pia nilikuwa na mambo yangu ya kifamilia zaidi,” amesema. “Ila nashangaa watu kusema kuwa mimi ni mjamzito ni kitu ambacho kinanishangaza watu wanajua mie mjamzito wakati hata mimi mwenyewe sijui! Au kwakuwa wanaona labda nimenenepa ndio maana. Kazi zipo tayari zina subiri kutoka, kwahiyo muda wowote kazi itatoka mashabiki wake tayari tu,” ameongeza.

Hivi karibuni Mkubwa Fella alitangaza kumuongezea Baby J kwenye familia yake ya Mkubwa na Wanawe.


Credit Bongo5
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment