BASATA latoa baraka zake kwa Alikiba, hivi ndivyo alivyojibu





Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limempongeza Alikiba baada ya kusaini mkataba wa kimataifa na label kubwa duniani, Sony Music.
Sony-Alikiba
BASATA lilimpongeza Alikiba kupitia akaunti ya Twitter na kuelezea kuwa mafanikio hayo yamekuja kutokana na nidhamu aliyonayo.
“Tunampongeza Msanii Ali Kiba kwa kusaini mkataba na Kampuni ya Kimataifa ya Sony Music. Nidhamu, maadili & Sanaa ya staha hulipa,” waliandika BASATA
basata-3
Alikiba naye aliwashukuru Basata kwa kuandika: Nalishukuru @BasataTanzania kwa pongezi kwani nyinyi ni Kama wazazi katika sanaa yetu Asanteni sana proudly TZ.”
basata-4


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment