Birthday ya mtoto wa Diamond, ‘Tiffah’ yaanza kuandaliwa miezi 3 kabla



Mtoto wa staa wa muziki nchini, Diamond Platnumz, Tiffah atatimiza mwaka mmoja August 6 mwaka huu, ambapo tayari familia yake imeanza kufanya maandalizi ya kusherekea sherehe ya mtoto wao kutimiza mwaka mmoja.


Kupitia ukurasa wa instagram wa Tiffah ambao unaendeshwa na wazazi wake, umetoa ujumbe huu kwa kampuni za mapambo:

My 1st Royal birthday is loading. Kindly tag the best event planner/decor personnels that you’d like to see plan and manage my bday party



Wadau na mashabiki mbalimbali wa Diamond na Zari, wanasubiria kwa hamu kushuhudia tukio hilo la aina yake, huku kukiwa hakuna taarifa rasmi kwamba sherehe hiyo itafanyikia wapi.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment