Ciara azidiwa nguvu na Future kwenye kesi ya nani akae na mtoto wao


Drama ya kisheria ya Ciara na Future inaendelea.



Jumatatu hii, jaji wa Los Angeles amempa ruhusa rapper Future ya kuishi na mwanae, Future aliyezaa na muimbaji huyo. Ciara ameshindwa kesi yake aliyoifungua kumzuia ex wake asikae na mtoto wao kwa madai kuwa ni mtu mbaya.

Na sasa wawili hao wataweza kumlea mtoto wao kwa kushirikiana.

Bado kesi zinaendelea hata hivyo. Mapema mwaka huu, Ciara alimfungulia kesi ya madai Future ya dola milioni 15. Future naye alimshtaki.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment