Hakuna tena Machozi Band, kuna The Band – Lady Jaydee



Lady Jaydee ameeleza sababu ya kubadili jina la bendi yake ya muziki iliyokuwa ikiitwa Machozi Band.



Akiongea na East Africa TV Jaydee amesema:

“Band kwa sasa haiitwi tena Machozi Band, inatwa The Band, nilibadilisha miaka miwili iliyopita na kwasababu sasa hivi mwenyewe sikutaka kuitwa binti machozi. Watu wanasema jina unaloitwa lina relate na maisha yako, so nikaamua kubadili. Kwahiyo Machozi Band haipo tena imekufa, kwa sasa itakuwa ni Lady Jaydee and The Band.”




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment