Meek Mill amshirikisha tena Nick Minaj kwenye ngoma yake


Meek Mill amemshirikisha mpenzi wake, Nick Minaj na Lil Uzi Vert kwenye wimbo wake mpya ambao utatoka hivi karibuni.




Kupitia akaunti yake ya Instagram, Meek aliandika: “You know how froze dat is FT . NICKI . LIL UZI #THE4 😢.”

Huu utakuwa ni wimbo wa tatu kwa Meek Mill kumshirikisha mpenzi wake, Nick Minaj baada ya ule wa’ ‘Bad For You’ na ‘All Eyes On Me’ ambazo zote zilitoka mwaka 2015.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment