Nazizi aanza kuwatisha wababe mtaani


Rapa wa kike kutoka nchini Kenya, Nazizi amepost picha zilizoanza kuwatisha wababe wa mtaani.



Nazizi aliwahi kuwa rapa pekee kwenye kundi la East African Bashment Crew na kufanikiwa kutengeneza jina ukanda wa Afrika Mashariki.

Kutokana na picha alizopost sasa Nazizi anonekana ameanza kuiva kwa mazoezi anayoyafanya chini ya mwalimu wake Zola D na kuwafanya watu waanze kumuogopa pindi wakimuona mitaani anakatisha.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment