Vituko vya Justin Bieber vinazidi kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake.
Hivi karibuni Justin Bieber alikabiliwa na kesi ya kulipa dola laki moja baada ya kuvunja simu ya watu japo mpaka sasa bado hajazungumza chochote.
Lakini Jumatano hii pia Bieber alionekana akikatisha mitaa ya Boston’s Public Garden akiwa bila viatu. Kitendo hicho kimezidi kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake. Ni wiki hii pia staa huyo raia wa Canada alionekana akilia jukwaani wakati akitumbuiza.
0 comments:
Post a Comment