Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amwakilisha Rais Magufuli Kwenye mkutano wa Kupambana na Rushwa, London




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa kuingia kwenye ukumbi wa Lancaster House, London nchini Uingereza kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, Mei 12, 2016. Waziri Mkuu Majaliwa alimwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo.



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa nne kulia) akishiriki katika Mazungumzo Rasmi ya Wakuu wa Nchi katika Mkutano kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwenye ukumbi Lancster House, London, nchini Uingereza Mei 12, 2016. Majaliwa alimwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano huo(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Source Mpekuzi
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment