Lady Jaydee kuachia ‘Sawa na Wao’ July 4


Baada ya kufanya vizuri na wimbo wake Ndindidi, Lady Jaydee ametangaza tarehe ya kuachi kazi yake mpya.



Wimbo mpya wa muimbaji huyo nguli unajulikana kwa jina la ‘Sawa na Wao’ na utatoka Jumatatu ya July 4.

Wimbo huo unapatikana kwenye album yake ijayo iitwayo Woman.

Kwa sasa bado Jide anaendelea na ziara yake ya Naamka Tena ambapo siku ya Eid atatumbuiza jijini Arusha.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment