Lil Wayne adaiwa kumpiga ngumi baunsa kwenye party ya tuzo za BET



Rapper Lil Wayne amejikuta anahusishwa na ugomvi uliotokea kwenye party ya BET iliyoandaliwa na rapper 2 Chainz kwenye club ya Hyde.



Mtandao wa udaku wa TMZ umelipoti kuwa kuna baunsa anasema alipigwa ngumi na Lil Wayne wakati watu wake walipozuiliwa kuingia ndani.

Timu ya Wayne imekanusha taarifa hizo na imesema baunsa huyo alimshika vibaya Lil Wayne kwenye mkono wake na ndipo walipotofautiana.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment