Ni Chile na Argentina tena fainali Copa America 2016



Nusu Fainali ya michuano ya Copa America imechezwa alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago,Chile imeifunga Colombia kwa bao 2-0 kwenye mchezo huo na itakutana na Argentina kwenye mchezo wa fainali June 27/2016 kwenye uwanja wa MetLife mchezo wa fainali unaozikutanisha tena timu hizo baada ya mwaka mmoja.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment