Nick Cannon aendelea kugoma kumpa talaka Mariah Carey


Ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini. Rapper Nick Cannon ameendelea kugoma kusaini talaka kwa Mariah Carey.



Wawili hao walidumu kwenye mahusiano kwa miaka saba waliachana tangu Agosti 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa Nick Cannon alichepuka nje ya ndoa yao.

Lakini mpaka leo Nick Cannon ameonekana kuwa mzito wa kutoa talaka kwa Mariah Carey kwa madai kuwa bado anampenda mpenzi wake huyo wa zamani na hataki aolewe na mpenzi wake wa sasa James Packer.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment