One Dance ya Drake na Wizkid yaendelea kuwa namba 1 kwenye Billboard Hot 100 kwa wiki sita




Drake na Wizkid wanaendelea kutisha kwenye chati za Billboard Hot 100.



Kwa wiki ya sita mfululizo sasa, wimbo wao, One Dance umeendelea kuwa namba moja.

Hatua hiyo imekuja baada ya wiki hii msanii wa Nigeria, Seyi Shay kusababisha mjadala mkubwa mtandaoni baada ya kudai kuwa wimbo huo ni wa Wizkid. Kauli hiyo ilikanushwa na Wizkid aliyemuonya kutoongea vitu asivyovijua.

Seyi aliomba msamaha.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment