Alikiba kuja na kitu kipya kwenye runinga yako


Kuna uwezekano mkubwa safari ya Alikiba kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti National Park aliyoifanya kwa ajili ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa ya kutimiza miaka 30 ikaja na kitu kizuri kwa mashabiki.



Kwa mujibu wa meneja wa hitmaker huyo wa Aje, Seven Mosha kuna kila dalili Kiba akaachia documentary yake ya safari hiyo na vitu vingine kwa ajili ya kuwapa fursa mashabiki wake kujionea kila kilichotokea kwenye sherehe hiyo.

Kupitia mtandao wa Instagram, meneja huyo ameandika:

The King’s @officialalikiba Sayari Camp visit is documented by filmmaker Simone Pecorari and managed by @g.salome . The documentary will be aired on local and international media soon!! #Kings30YearsTurnUp
#SayariCampSerengeti
#ExploreLoveProtect



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment