Chuchu Hansy: Muda ukifika watu watajua kama nina mimba au sina


Muigizaji wa kike filamu Bongo, Chuchu Hansy amefunguka sababu ya kuficha ujauzito wake.



Chuchu ameiambia EATV kuwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa hivyo huwa ni vitu vya mtu binafsi ila muda ukifika kila kitu kitakuwa wazi.

“Unajua vitu kama hivyo ni too personal na nisingependa kuviongelea especially kwenye media. Lakini muda muafaka ukifika kila mmoja atajua nini ni nini, ila kwa sasa acha ikae hivyo watu waendelee kuhisi,” amesema muigizaji huyo.

Chuchu alifanikiwa kushinda tuzo ya muigizaji bora wa kike kwenye tuzo za Eatv Awards 2016 zilizotolewa Jumamosi iliyopita.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment