Kumbe kila goli la Aguero huingiza mamilioni kwa Atletico




Mchezaji wa klabu ya Manchester City, Sergio Aguero ambaye zamani alikuwa akikipiga katika klabu ya Atletico Madrid kumbe Madrid bado inapata hela kila mchezaji huyo anapo pachika bao akiwa ametinga uzi wa Manchester City.



Klabu ya soka ya Manchester City ilipomfanyia usajili wa Aguero kulikuwa na moja ya kipengele kwenye usajili huo kikielekeza kwamba pale atakapoifungia timu hiyo magoli 15 bado Atletico Madrid inatakiwa kulipwa kiasi cha paundi 210,000.

Aguero hadi saivi amesha ifungia timu hiyo magolo 152 tangu ajiunge mwaka 2011, ina maana kwamba Atletico Madrid imejipatia kiasi cha paundi milioni 38!


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment