Picha: Zari na Diamond wapata mtoto wa pili



Hayawi hayawi na sasa yamekuwa. Hatimaye Zari The Bosslady na Diamond wamefanikiwa kumpata prince wa familia aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa. Mtoto huyo amezaliwa saa 10 na 35 Alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6.

14487447_1827144907522680_5373185399340400640_n
Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini. Tayari Diamond na Zari wameonesha picha za mtoto huyo japo hawajaweka sura yake na bado hawajasema wamemwita jina gani.

noma

“😍😍😍😍 thanking everyone for your prayers, we are all doing fabulously ok😙,” ameandika Zari.
Naye Diamond ameandika:

diamond

Tunawapongeza Diamond na Zari kwa kujaaliwa kupata mtoto wa kiume.

15276619_237884713300470_5584859280521035776_n
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment