Future akiri kuwa na furaha zaidi baada ya kuachana na Ciara


Rapper Future amesema maisha yanaendelea na ana furaha tele baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Ciara aliyedumu naye kwa mwaka na nusu na hadi kumchumbia.


“Nahisi kama kila kitu kilitokea kwa sababu,” rapper hiyo aliiambia Billboard. “Nina furaha na maisha sasa, hata baada uhusiano wangu kufa.”

Hata hivyo anasema yeye na Ciara hawana tena ukaribu wowote na hilo halimsumbui. Future na Ciara walichumbiana mwaka 2013, lakini uchumba ulikufa mwaka uliofuta kutokona na tetesi za michepuko.

Walifanikiwa kupata mtoto wa kiume mwenye miaka miwili sasa, Future Zahir Williams.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment