Hatimaye baada ya kimya cha miaka kadhaa Nicki Minaj, Lil Wayne na Drake wameachia nyimbo zao za pamoja.
Nyimbo hizo ni ‘No Frauds’ ambao wameshirikiana pamoja na ‘Changed It’ ambao ameimba Nicki Na Wayne. Sikiliza nyimbo hizo hapa chini.
No Frauds – Nicki Minaj, Lil Wayne na Drake
Chanded It – Nicki Minaj na Lil Wayne
0 comments:
Post a Comment