Schweinsteiger atambulishwa rasmi Chicago Fire ya Marekani
Mchezaji Bastian Schweinsteiger ametambulishwa rasmi na klabu yake mpya ya Chicago Fire ya Marekani jana kwenye mkutano na waandishi wa habari.
Schweinsteiger amekabidhiwa jezi namba 31
Schweinsteiger amesha anza na mazoezi na timu hiyo wiki hii baada ya kumalizana na klabu ya Manchester United ya Uingereza.
Credit Bongo5
0 comments:
Post a Comment