Wema Sepetu hakamatiki Instagram



Hakuna ubishi kuwa Wema Sepetu ni mmoja ya warembo wa Afrika Mashariki mwenye nguvu kubwa ya mashabiki. Umaarufu wake unazidi kuongozeka kiasi ambacho umemfanya afikishe followers milioni 3 kwenye mtandao wa Instagram.


Wema anaendelea kushikilia rekodi yake ya kuwa mrembo wa kwanza Bongo kuwa na idadi kubwa ya followers kwenye mtandao huo.



Umaarufu wa mrembo huyo umezidi kuteka vichwa vya habari kwa takribani miaka 11 tangu aliposhinda taji la Miss Tanzania mwaka 2016.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment