Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Clara Mwatuka, amefariki dunia leo Jumapili jioni baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupinduka lilipokuwa linashuka eneo la Makonde Plateu kuelekea Ndanda, Masasi mkoani Mtwara.
Gari alilopata nalo ajali marehemu Mwatuka.
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Ndanda. Viongozi waandamizi wa CUF wamethibitisha kutokea msiba huo.
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ya marehemu Mwatuka imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Ndanda. Viongozi waandamizi wa CUF wamethibitisha kutokea msiba huo.
0 comments:
Post a Comment