Kwanzia msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz na mpenzi wakeZari Hassan wapate mtoto imekuwa story kubwa kwa blogs za hapaTanzania na hata nje ya nchi.
Kila mmoja amekuwa anatamani kumuona mtoto huyu sura yake, Lakini hizi ni picha tu zinazo muonyesha mtoto huyu akiwa mwenyewe bila kubebwa.
Kila mmoja amekuwa anatamani kumuona mtoto huyu sura yake, Lakini hizi ni picha tu zinazo muonyesha mtoto huyu akiwa mwenyewe bila kubebwa.
Mwimbaji Diamond ameonekana kuwa na mapenzi mengi sana juu ya mtoto wake huyu ambapo kila wakati amekuwa akipost picha yake nakuongelea namna anavyo muwaza au kuhitaji kukutana naye.
0 comments:
Post a Comment