Manchester City wambeba Nicolas Otamendi





Nicolas Otamendi

Manchester City wamemsajili mlinzi wa kimataifa wa Argentina Nicolas Otamendi kutoka klabu ya Valencia kwa mkataba wa miaka mitano. Mchezaji huyo mwenye miaka 27 alitajwa katika kikosi bora cha La Liga msimu wa 2014-15 na aliisaidia nchi yake kufika fainali ya Kopa Amerika mwaka huu. ''Kuwa ndani ya klabu hii kunanifanya ni muhimu sana''alisema mlinzi huyo wa kati. Meneja wa City Manuel Pellegrini alisema ''Yupo imara, bora katika kukabiliana na wapinzani na ni bora pia kiufundi''
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment